Dk. Eria Nemes wa Shirika la Afya Duniani (WHO) akichangia hoja juu ya shida ya kupatikana kwa hati za kuzaliwa nchini Tanzania, ambapo kwa kuwa Kabidhi Wasii (RITA) iko chini ya wizara ya mambo ya ndani haitoi nafasi ya watoto kusajiliwa mara tu baada ya kuzaliwa hapo hapo hospitali. Hii ilikuwa ni katika semina ya wanahabari kujadili njia nzuri za kuhamasisha umma kuhusu afya ya mtoto na mzazi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...