Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa Kilwa Kivinje, mkoani Lindi.
Nape akipokea kadi ya aliyekuwa katibu wa CUF kata ya Njinjo, Kilwa Mohamed Likalangala mkutano wa Kilwa Kivinje.
Wana CCM Kilwa Kivinje wakimshangilia Nape wakati anaondoka mkutanoni eneo hilo.
Nape akishauriana jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, Ali Mtopa katika mkutano uliofanyika Kilwa Masoko, mkoaoni humo.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na viongozi baada ya kuwasili Kilwa Vijinje, mkoani Lindi. nyuma yake ni Katibu wa NEC Oganaizesheni, Asha Abdallah Juma, na kulia Ali Mtopa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2011

    Nape ameachiwa shughuli za chama peke yake? Chiligati uko wapi? Nomba tuimbve wote mnaoipenda ccm:

    CCM CCM,
    Nakupenda kwa moyo woteeee,
    Nilalapo nakuota wewe,
    Niamkapo ni kheri chama weee,
    CCM CCM,
    Jina lako ni tamu sana.

    Chorus:
    CCM CCM,
    Nkupenda kwa moyo wote.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2011

    wewe nani kakwambia kama kilwa kivinje mji mdogo?kuwa makini na maandishi yako soma habari za kilwa halafu ndio useme mdogo au mkubwa,nimaturudisha nyuma kila siku kwa hayo maandishi ya siona ukweli

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 26, 2011

    piga kazi mwanaume !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...