Baadhi ya Wanamitindo walioshiriki katika onyesho maalumu la mavazi la ‘Fashion 4 Vision’ lililofanyika mwishoni mwa wiki Dar es Salaam maalumu kwa kuchangisha fedha kwa ajili ya wagonjwa wa macho nchini ambapo sh. milioni 15/- zilipatikana. Onyesho hilo lililoandaliwa na Lions Club kwa pamoja na Wabunifu
wa Mavazi Mustapha Hassanali na Jamila Vera Swai na kudhaminiwa na Benki ya Exim Tanzania.
Meneja Masoko wa Benki ya Exim Tanzania Linda Chiza(kushoto) akipeana mkono na Rais wa Lions Club Tanzania Frank Goyayi wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi ya milioni moja kutoka benki hiyo kuchangia matibabu ya wagonjwa wa macho nchini.Katikati ni Mama Salma Kikwete aliyekuwa mgeni rasmi na wa pili kushoto ni Meneja Mkuu wa Benki ya Exim dinesh Arora na kulia ni Mkurugenzi wa benki hiyo Hanif Jaffer










 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...