Princess Samantha
Hello wadau,

Mtoto wetu leo ametimiza miaka miwili tangu azaliwe pale Hospitali ya Agha Khan saa 3 asubuhi. Napeleka shukrani zangu kwa Mungu mwenyezi, Dr Shafiq wa hospitali ya Aga Khan aliyemfanyia operesheni mke wangu na kuwezesha haya yote pamoja na ndugu na marafiki wote kwa sala na baraka zenu mpaka mtoto huyu kufikia miaka miwili.

Ahsanteni,
Mr & Mrs Edwin Mac Temba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 13, 2011

    Mr & Mrs Temba, Mungu azidi kuwabariki, mumlee Princesss Samantha kwa upendo na kumcha Mungu. I can imagine how you fee.

    HAPPY BIRTHDAY PRINCESS SAMANTHA!
    [FATHER'S DAUGHTER]

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 14, 2011

    Mr.& Mrs. Temba, Hongereni sana na Mungu awatangulie katika kumlea mtoto wenu katika maadili mema na kwa upendo.. na awazidishie watoto wengi zaidi kw kadri apendavyo yeye....

    One and only

    Originated from Titanic Flat

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...