Kijana mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amepokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kutuhumiwa kuiba makochi na kitanda katika nyumba moja iliyopo mtaa wa Kiusa katika manispaa ya Moshi.Hata hivyo kijana huyo aliokolewa na askari polisi waliokuwa wakifanya doria kama inavyoonesha pichani juu. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
 Kijana akisindikizwa kituoni baada ya kuokolewa
 Akiwa mikononi mwa polisi
 Askari wa doria waokoa maisha yake
Kijana akila kipigo kabla ya polisi wa doria kumuokoa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    Mbona misi menyewe hatoki midamu? mnampiga kwa mikono mitupu? tangu lini misi akapigwa hivyo? kipigo cha mwizi ni MATOFALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...