Keki ya Sherehe ya Uzinduzi wa ASEKI BUSINESS SCHOOL iliyoko Dodoma ikitaka kukatwa wikiendi hii.  Kutoka kulia: Naibu Katibu Mkuu Biashara, Viwanda na Masoko Bw.  Shaaban Mwinjaka, Mkuu wa Chuo Mwl. Omari Kiputiputi, Mwenyekiti wa Bodi ya MItihani ya Chuo,  Balozi Mstaafu Mzee Job Lusinde na Mama Manase Mjumbe Bodi ya Wakurugenzi
 Wadau katika mnuso huo
 Keki ya sherehe
Wadau mnusoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...