Flaviana Matata akisoma hotuba wakati wa uzinduzi wa taasisi yake ya kusaidia jamii iliyo kwenye matatizo ya Flaviana Matata Foundation usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya Kilimanaro Kempinski. Flaviana amefungua taasisi hiyo kumuenzi mama yake mzazi aliyekufa na mamia ya abiria wengine siku MV Bukoba ilipozama katika Ziwa Victoria nje kidogo ya jiji la Mwanza
Mkurugenzi wa Utamaduni katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Mwansoko akiongea katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na wadau wengi toka fani mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2011

    HONGERA SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA AND KEPT IT UPPPPPPPPPPPPP. SWEEEEEEEEEEET GIRLLLLLLLL

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 01, 2011

    congrats flavi,but kama nimehear habari za hiyo foundation yako long,so punguza kupiga debe,anza kazi,piga harambee kutunisha mfuko,then do the work,punguza kucelebrate na wenye nazo,kwani mwisho utalose lengo.au siyo ni hayo2,kila la kheri

    ReplyDelete
  3. ChakubangaJune 01, 2011

    That is very interesting and brilliant ideas you set up a good example and you are a real celebrity and inspirational to all other inspiring young people, keep it up ! and don't let fame and money get into your head like that other idiot who played in NBA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...