Ujumbe wa Msafara wa Mhe. Gilmore ukifuatilia kikao hicho kwa umakini. Kutoka kushoto ni Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan, Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Ireland (Irish Aid) Bwana Brendan Rogers na Mshauri wa Mhe. Gilmore Bi. Jean O’Mahony.
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (kulia) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge la Afrika Mashariki walipomtembelea Ofisini kwake Dodoma leo kwa lengo la kuwasilisha ripoti ya mwaka. Kutoka kushoto ni Mhe. Abdallah Mwinyi, Mhe. Janeth Mmary na Mhe. Amani W. Kabouru.
Picha na Mdau Prosper Minja.
Mtembelee kwenye libeneke lake





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...