Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Davies Mwape akiwa katika harakati ya kumtoka beki wa Elman,Badri Mo'Alim katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup uliochezwa jioni hii ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
Wachezaji wa Timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Abukar (kushoto) na Said Mohamed (kulia) wakiwania mpira na Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Kigi Makasi (kati) katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
Sehemu ya Mashabi wa Yanga waliofurika ndani ya uwanja wa Taifa leo kuisapoti timu yao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...