Kikosi cha Yanga.
 Kikosi cha Elman 
 Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Davies Mwape akiwa katika harakati ya kumtoka beki wa Elman,Badri Mo'Alim katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup uliochezwa jioni hii ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
 Wachezaji wa Timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Abukar (kushoto) na Said Mohamed (kulia) wakiwania mpira na Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Kigi Makasi (kati) katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.


 Mwape wa Yanga akiwa chini mara baada ya kufunga bao zuri sana kwa kichwa kutokana na Kipa wa timu Elman kuuteme mpira uliopigwa na Julius Mrope.

Hatari langoni mwa Elman ya Somalia.
Sehemu ya Mashabi wa Yanga waliofurika ndani ya uwanja wa Taifa leo kuisapoti timu yao.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...