Waombolezaji msibani
BENKI ya CRDB imetoa shilingi milioni moja kama ubani katika msiba wa Mhariri wa gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri Mtendaji wa New Habari, Dannny Mwakiteleko. Akikabidhi kiasi hicho jana wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa marehemu, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa CRDB, Tully Mwambapa, alisema benki hiyo imeguswa pia na kifo cha mwanahabari huyo. “Sisi kama benki ya CRDB tumeguswa na msiba huu mzito wa mwanahabari lakini pia Mhariri Mtendaji wa Rai, hivyo tunaungana nanyi katika kipindi hiki kigumu”alisema.
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Emmanuel Nchimbi akiongoza mamia ya waombolezaji katika kutoa heshima za mwisho kwa mpiganaji Danny Mwakileko leo nyumbani kwake Tabata Chang'ombe kab la mwili wake haujasafirishwa kuelekea Mwakaleli, Tukuyu mkoani Mbeya, kwa mazishi. Danny alifariki siku mbili zilizopita kufuatia ajali ya gari
 Wadau mbalimbali msibani
 Wahariri wakiwa tayari kutoa mwili wa marehemu
Safari inaanza
Mbunge wa Bumbuli mh. January Makamba akitoa heshima zake
Askari akiaga kijeshi




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2011

    MATUKIO KAMA HAYA YANATUPA FUNDISHO KUBWA LA KUMRUDIA MUNGU NA KUJUA KUWA SISI SI CHOCHOTE DUNIANI.HASA KIPINDI HIKI KIGUMU KATIKA MUSTAKABALI WA TAIFA INABIDI SISI VIONGOZI TUONE KUWA VYOTE TUNAVIACHA KATIKA SEKUNDE MOJA NA HAVITATUFUATA KAMWE.SOTE TUTARUDI MAVUMBINI TU.MUNGU AILAZE MAHALI PEMA MPENDWA WETU ALIYETWALIWA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...