i ride michuzi blogs to get helps.
meni people get help here. i from somalia in 2009 to tanzania. i find refugee, and start business in hotels and house. i get the pemit to stay in tanzania for business, and i help tanzania get job and my business.
so i be beaceful and no trable in the country. i pay all taxe and do no haraam in darsalaam. so i gone to imimgration and i pay fro pemit, and also pay officer good money to do my good job. and offecer call me to meet every time i give him tsh, 500,000 mene times.
if i say i dont have monie he say he call pirate and take me back to somalia, and tells amereca am alqeaida.me no alqeaida so i work for immegretion all money i get he takes all of it.
so my business is stoppi to work and i hides and rtanzania govement to help me. am no alqueada i work no pirates me. am beaceful in this country. if immeirgation take me bocoause i dont havntt money to him i killing me.
wants maugration office to stop distrubs me, i havnt no money again to pay him everydey i close all buseness i gives him most money.
thanks you
awaale
Huo ni uonevu, sheria za uhamihaji zinaeleweka na justifications za mtu kupata kibali cha kuishi ziko kisheria na wala si kibinafsi kama wanavyokufanyia hao maofisa. Mimi ni wakili wa kujitegemea nimejitolea nitakusaidia, naomba tuwasiliane katika anuani hii ya email: katerero73@gmail.com
ReplyDeleteMy friend Somali, if u are staying in Tanzania Legaly then why bribing that officer that much? I you have all the permits then I advice you to go to PCCB and they know how to catch those type of guys, if you are staying illigelay I also advice you to re seek pernmision. Also note that giving and receiving bribe are both criminal offences, so be careful with what you do while in tanzania.
ReplyDeleteJapo lugha kidogo ni mgogoro... kikubwa hapa ni kuelewa huyu ndugu alitaka kusema nini... What are you waiting to report this to Anti-Corruption office? if you have a valid working permit?
ReplyDeletehey... take a step forward to police.. with you valid papers
Sony - A city
Blog ya Jamii tafadhari tafadhari nawaomba tena tafadhari muwasiliane na huyu muathirika wa hili jambo ndugu yetu Awaale ili awape taarifa sahihi za huyo afisa uhamiaji na ikibidi mumuanike humu , hawa ndo wanao toa uraia kwa wahamiaji haramu kienyeji na kuichafua serikari yetu kiutendaji
ReplyDeleteifu ua gud end clin es per ua statement, why dont u konsult the pccb tu asist u? us shuld not be givin mane to this people becos at the end of the dei they assume we all hev mane and they even kam and get the mane from us who dont hev neitha hotels not gud business.
ReplyDeleteduh hii sasa imekuwa ndio mbinu ya rushwa dunia nzima dhidi ya waislamu. wanataka utoe rushwa au utaitwa gaidi, mujahidina, alqaeda nk. huu ni uonevu wa hali ya juu kwa waislamu. lkn ipo siku mungu atawalipa hao wanaodhalilisha waislamu.
ReplyDeleteDUUUU kukaaa kote Tanzania hujajua kiswahili tuuuu. Jifunze Kiswahili ili tuwasiliane vizuri kwani hata English ni tabu kwako. Hata hivyo nakupa pole. Mpeleke huyo mtu kwa PCCB.
ReplyDeleteanony unayelalamika kuwa wailamu wanaonewa, nafikiri unakosea. Kwanza umejuaje kuwa huyo somali ni muislamu? Pili umejuaje kuwa huyo anayepokea rushwa si muislamu?
ReplyDeletewewe nawe uislam unakuja vipi hapa acha udini wewe ndio nyie watu msiohitajika katika jamii mtasababisha maafa kwaajili ya udini
ReplyDeletewapi uislam unahusika hapa nani kakwambia gaidi lazima awe muislam kazi ulalamishitu
lakini sishangai kawaida yenu ulalamishi kilawakati kuona mwaonewa
usibane hii mithupuu
hakuna cha uislam wala ukristu kinachozungumziwa hapa ni corruption... msitakle kutuchefua Tanzania sasa imekuwa too much udini mnataka kutuambia nini... huna qualification hufai hata kama ukipachikwa kwenye madaraka ni bure tu muhim ni shule na utendaji... assseh!
ReplyDeleteHya ana wewe msomali usituzingue hapa, kama unajua haki zako na umeingia kihalali unatoa hongo ya nini kwanza unahitaji kuchukuliwa hatua za kisheria mtoaji na mpokeaji rushawa,
Hawa uhamiaji wana mtindo huu hata kwa sisi tunaoishi Ughaibuni. Wakishaona tu una viza la kuishi au uraia wa ughaibuni wanaanza fitina zao ili uwalipe pesa. Wanakera sana, wanachoyo na roho mbaya ya kuzaliwa na kutumia hii ofisi kujipatia pesa haramu. Mdau UK.
ReplyDeleteAnony wa thu Jul. 28.09:23:00 AM 2011
ReplyDeleteAcha mawazo ya kidini wewe, rushwa iko kila mahali. Mwenzio hajaongelea uislam hapo, hizi ndo tunasema ni chuki binafsi, uislam mara nyingi unahusishwa na ugaidi kwa ajili ya waislam wachache wanaofanya matukio ya ajabu. Ila waislam walio wengi tunaishi nao vizuri na ni watu wazuri sana. Huna ushahidi wowote unaosema waislam wanadhalilishwa, sema wewe nawe una chuki binafsi. Rushwa iko kila mahali haiangalii uislam, usikute mtu mwenyewe anayetaka Rushwa ni muislam vile vile, hivyo acha kupotosha waislam wenzio.
if u have a valid working permit as u said u do!! why dont u report the dude to the Anti- Corruption Bureau!? act as fast as possible coz i dont think that is right next time he comes make sure u have set a trap for him. en remember to record the conversation you have with him.
ReplyDeletebaba kiswahili hujui, si umekaa mkuda kidogo Tz, ila tumekusoma, wasilana na hao watu uliombiwa na wadau hapo juu!
ReplyDeleteInshallah Mungu atasaidia
Awaale usidanganye watu kuwa hujui lugha na ati wewe ni msomali na unadaiwa rushwa na watu wa uhamiaji kila mara. Wewe umetumwa na wasomali wanaoishi nchini isivyo halali kuwashtaki maafisa wa uhamiaji ati wanawadai rushwa. Mara zote hizo ulikuwa wapi usiseme ulipokuw unatoa mpaka leo ati ndio unasema. kalagabaho
ReplyDeletewasiliana na mimi hapa nitakupa msaada, hawa wanaochukuwa hongo i need to scruitize them, nitajie majina yao na nitawashughulia vipasavyo, this officers are thieves, put them on spot, waweke kwenye line and will shot them all, . Asante kwa kutufahamisha hilo.
ReplyDeletePole sana sana kaka. Utaishi maisha hayo ya kumpa laki 5 mpaka lini? DO as others have already adviced you to report the immigration officer to Anti corruption Bureau. Hii itakusaidia awekewe mtego na watampata. Lingine remain clean so that if they may want to look at you they will find no any problem
ReplyDeleteGod bless you
msomali gave me my cellphone nomber know how help dosent worre me arrest that coraption one time sirias post my nomber now now me waiting my nomber ok do very fast here michuzi blog sent my nomber very fast ok,Trast me I well sue that corapsion ofiser
ReplyDeletelugha za watu. mungu uturehemu.
ReplyDelete---
buffalo,
new york
Halafu huyu mtu ni mwongo!, ninyi hamjamsoma? hana consistency ya maneno anayoyaandika....mfano: hata neno Dar es Salaam kashindwa kuandika ambako ndo anaishi?...neno-Immigration: 'imimgration-imegretion-immeirgation, maugration office; from-fro; officer-offecer; money-mone;stoppi-stop; havnt-havntt; business-buseness: Haya maneno kayarudia rudia lakini bado eti kashindwa kuwa "consistent" huyu jamaa wala siyo msomali, ni mtu tu kaamua kuwachemsha "waosha vinywa"...wasomali wajanja sana wanajua lugha angalau kidogo, uhuni mtupu!
ReplyDeleteyeh,anony wa 08:59pm umeona ee. huyu ni mhuni tu kaamua kuwaumiza vichwa.wasomali wanajua sana kiswahili ndo maana ukerewe watu wengi waliojilipua wanajiita wasomali.we uliyetuma hii post grow up. usituharibie hali ya hewa hapa kwenye blog ya jamii.
ReplyDeleteHuyu msanii. Hana lolote.
ReplyDeleteHuyu mtu ni muongo, mimi nilikuwa na nia ya kumsaidia bure kama wakili, kupitia maoni ya kwanza hapo juu, lakini hadi sasa ni siku ya pili hajanitumia ujumbe wowote.
ReplyDelete