Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Goba, Hamisi Bundala (katikati) akikabiliana na mabeki wa timu ya Msongola, Hamisi Fungura (kushoto) na Arabi Yakub, wakati wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars,uliofanyika katika uwanja wa Karume, Dar es Salaam hivi karibuni.
Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Goba,Pascal Mapunda akimtoka beki wa Msongola, Boniface Joseph wakati wa mchezo wa robo fainali ya ligi ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars, uliofanyika katika uwanja wa Karume, Dar es Salaam hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...