Rais Dr. Jakaya Kikwete akifungua kitambaa kuashiria uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa ghala la Chama Cha Ushirika cha Tandahimba Newala (TANECU) mkoani Mtwara leo.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasalimia wafanyakazi wa chama cha ushirika cha Tandahimba Newala na wananchi waliohudhuria sherehe za uwekaji jiwe la msingi la ghala la chama hicho lililojengwa katika mji wa Tandahimba.
Rais Dr. Jakaya Kikwete na Mke wake Mama Salma wakiangalia grade mbalimbali za korosho zilizozalishwa na kiwanda cha RVF kilichoko Tandahimba wakati walipokitembelea kiwanda hicho leo. Katikati ni Meneja uzalishaji wa kiwanda ndugu Lydia Amuli. PICHA NA JOHN LUKUWI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 28, 2011

    Huku kwa mama hii kitu ni bei juu. Sijui kwanini walimaji masikini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...