Napenda nikupe pongezi kwa mafanikio mazuri uliyopatana kwa kazi nzuri unayoifanya kutuhabarisha matukio mbalimbali popote pale tulipo duniani kwa kutumia blog yako hii. Nimeifuatilia for years mpaka nimekuwa encourge kuwa na blog yangu mwenyewe.
 
Pili nilikuwa naomba kuitangaza blog yangu kwa kutmia blog yako ya jamii kama itawezekana.
 
Mimi ninaishi katika mji wa Leicester UK.
 
Jina la blog yangu ni: Roy's Group  (www.swahilispeakers.blogspot.com)
 
 
Regards
 
Roy Sr.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2011

    Sasa mkuu mbwembwe za nini kutaka kuchomomeka maneno ya kiingereza ambacho hukijui? Hakuna neno encourge kwenye kamusi ya kiingereza, labda ulikuwa unataka kuandika encourage. Kibaya zaidi hata hicho kiswahili chenye na mgogoro! "mafanikio uliyopatana" ndio sentensi gani hiyo?. Bora tu uedeleze hilo libeneke kwa kiswahili hicho hicho cha kuunga unga.

    Kila la kheri mkuu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2011

    Kaka Michu, usiruhusu ukurasa wako kutumiwa na kila anayeweka neno swahili kwenye maandishi. Hii ni danganya toto, nimevisit hii blog AND I DID NOT SEE ANYTHING SWAHILI OR RATHER FOR SWAHILI SPEAKERS IN IT! Roy Sr. I will advise you to change the name of your blog ... Just my thought.
    Asanteni,

    Mimi

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2011

    acheni zengwe,hamjalazimishwa kuangalia hiyo web site,jamaa kaanza mwacheni andeleze hapo alipo fikia,je wenyewe mmeweza kufikia hatua jamaa aliofikia?mjomba ommy endelea na bidii zako usiwasikilize wachache wasiokutakia maendeleo,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...