Msanii mahiri wa kucheza na Nyoka aitwaye kwa jina la kisanii Mango Star a.k.a Snake Man,akionesha kipaji chake cha kucheza na nyoka mkubwa kama uonavyo pichani usiku huu,kwenye hafla fupi ya chakula cha usiku na Mwanamuziki wa Marekani Ludacris,nyumbani kwa Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga.
Msanii Mango Star a.k.a Snake Man akiwa amepozi na Mwanamuziki Ludacris na joka lake.
 Wadau Mbita na Kinje wakishoo love na Snake Man kwenye mnuso huo

Ludacriss with his young tanzanian fans at the Kilimanjaro Kempinski. They are the Shelukindos (Jermaine and Bradley little one in orange) and  the Makanis -Zadock with Zion

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2011

    hao watoto ni wa shelukindo barry white au?? naona forehead zao ziko sawa kama baba yao (kama ni baba yao au wadogo zake) afu luda kakucha kweli nategemea anaenjoy huko nilidhani kaletwa na kusaga ila naona ni watu wengine.

    good job africa... tuone kama mnaweza kumleta Justin Bieber lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...