Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Home
Unlabelled
MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AMJULIA HALI MZEE MALECELA MJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ooh! mzee malecela ugonjwa umemchukua amepungua sana, mwenyezi mungu amrejeshee afya yake haraka.
ReplyDeletemzee malecela amefanyiwa upasuaji London sio India,na upasuaji mkubwa wa moyo sio mchezo kilo lazima zipungue sana.
ReplyDeleteYes indeed, open heart surgery sio mchezo
ReplyDeleteina maana mzee malecela ni mtakatifu kweli maana duh angalia sofa hizo hapo ingekua zile nyumba za mafisadi mungeshangaaa kweli hapa maana kuko kwa kawaida kabisa nyumbani kwake
ReplyDeletemungu atakusaidia upone haraka hili uweze kuendelea kulitumimikia taifa letu
Wewe mdau wa juu hapo umbeya umekuzidi mdogo wangu. Unaangalia mpaka design ya makochi?
ReplyDeleteMuombee apate unafuu na siyo kutoa comments kuhusu sofa sets zake.
Si umbea huo ni ukweli ingekuta mafisadi ungefikiri ndo kwa rais na si makamu au waziri. Mafisadi kwao utadhani kwa Queen. Halafu mnadhani nchi itakuwa tajiri,au migomo vyuo vikuu itaisha. Au maandamano ya CHADEMA yataisha huku kuna watu hata mlo mmoja ni shida na eti nchi yetu yenye resource kila kona leo inaomba misaada nje hapo hapo mafisadi wakiendesha magari ya mabilion kwanini hata mafisadi wasiwasaidie maskini, yatima na wajane? nao wakawa na charity? Pole babu tunakupenda na kukuombea Mwenyeenzi Mungu akuponye.
ReplyDeletewe apo juu mshamba kweli, na ndo aana maendeleo yanakua tabu kwetu...mtu akiwa tajiri anaitwa fisadi...kwani kununua gari zuri na nyumba nzuri lazima uibe hela za watu? hata viongozi wa serikali wanapata mishahara na stahili zao nyingine, wengine wanatumia fedha zao vizuri wanawekeza, wananunua hisa mwishowe wananeemeka...sasa Tanzania ukionekana umejikwamua kiuchumi na ni kiongozi basi unaidhaniwa fisadi..badili mtazamo ndugu yangu!!!
ReplyDelete