Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Luhama Chonya ambaye ni bibi mzaa mama wa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai ,ambaye ni ndiye aliyemlea Naibu Spika huyo katika mazishi yaliyofanyika leo kijijini Ibwaga, wilayani Kongwa ,Dodoma.Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Freeman Mbowe akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Luhama Chonya ambaye ni bibi mzaa mama wa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akiwa na mkewe Dk. Fatuma akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Luhama Chonya Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, mama Tunu Pinda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Luhama Chony. PICHA ZOTE NA MAGRETH KINABO - MAELEZO
Home
Unlabelled
mazishi ya bibi mzaa mama wa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...