Home
Unlabelled
Mzigo unaelekea Sokoni Majengo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bongo tambarare,huyu jamaa anaelimu sawa na baadhi ya wabunge wetu,lakini ni bahati mbaya tu hakuweza kuchaguliwa au hakupata nafasi kwenye ofisi za serikali.
ReplyDeleteHivyo anakuwa na maisha haya ya taabu bila kuwa na chuki na aliowachagua ambao wanalipiwa kila kitu na serikali yake(nyumba,magari,mafuta,ada za shule,nk. nk.).
Je hakuna viongozi waliokuwa na elimu ya kidato cha nne au chini kwenye serikali yetu?
Ombi kwa viongozi fikiria ungekuwa wewe katika hali hii ungekuwaje?
Hee mdau umenikumbusha stori moja mwaka 1997 nilikuwa Mwanza na Canadians wawili ambao ilikuwa mara yao ya kwanza kufika Afrika.
ReplyDeleteWakati tunakwenda kituo cha Utafiti Ukiriguru tulikutana na wasukuma mkokoteni wameujaza mapanki siyo mchezo (kama hao hapo juu walivyojaza ndizi).
Sasa kilichowashangaza ni kwamba walikuwa wanakokota bila ya viatu (yaani walipiga kelele - pushing the cart without any shoes!!!!). Aah mimi nilijionea ni sawa tu maana nimezoea ile hali.
Ingetokea wakafika tena miaka 15 baadae wanaona bado watz wanasukuma mkokoteni bila ya viatu.