Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,Mh. Mohammed Aboud akitowa hotuba ya Ufufunguzi wa Tamasha la 17 la Mzanzibar lililofanyika katika Ufukwe wa Pwani ya Nungwi.
Warizi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,Mh. Mohammed Aboud Mohammed akizinduwa Tamasha hilo la 17 la Mzanzibar kwa kupiga bastola kuashiria kuazisha resi za ngalawa.
Wasanii wa Oman wakifuatilia maonesho ya tamasha la Mzanzibar, nao walialikwa kuonesha ngoma za Utamaduni wa kwao.
Waimbaji wa Kikundi cha Taarab cha Visiwani Zanzibar wakiimba wimbo maalum wa Uzinduzi wa Tamasha hilo.Picha na Mdau Othman Maulid Othman-Zanzibar
wazenji tupo na tunang'ara na tuna mvuto tumenawili hatujui shida tunajipenda na kupendana je mmetuonaaaaaa???????
ReplyDeleteAnkali na wenzio je mmetuonaaaaaa?
hatutaki vumbi lenu la wadanganyika tupeni nafasi tupate upepo mwanana sio mnatuganda tu utasema luba hehehe haloooooo nicheke mieee kwa raha zetu wazanzibar