Baadhi ya wadau wa Vodacom na waalikwa katika tafrija hiyo usiku wa kuiamkia leo katika ukumbi wa Club Sun Cirro, Sinza, Dar es salaam. Vodacom iliandaa tafrija hiyo kuwakutanisha warembo wataoshiriki katika fainali za Miss Temeke, Ilala na Kinondoni zikiwa siku chache tu kabla ya michuano hiyo itayofanyika katika kila wilaya hizo tatu kwa tarehe tofauti. Vodcom ndio wadhamini wakuu
Baadhi ya warembo toka kambi mbali mbali wakila pozi
warembo wakicheza kwaito kwa pamoja
warembo wakila stori na kujichanganya
Warembo wakifurahia tafrija hiyo.
Asante kaka.
ReplyDeleteTumeziona. Nyingi NYEUPE.
Asante