Sehemu ya wakaazi wa Mbeya na vitongoji vyake wakiwa tayari ndani ya uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kwa ajili ya kusherehekea kwa pamoja tamasha la Fiesta 2011.
Kina Ras Makunja wakijipanga vyema kwa ajili ya ulinzi na usalama wa watu watakaokuwa wamefika kwenye tamasha la serengeti fiesta 2011 linalofanyika mchana huu kwenye uwanja wa Sokoine. Chini ni sehemu ya umati huo. Picha na Michuzi jr
mbeya kulivyolivyo kama kijijini, mji kupata hadhi ya jiji unatakiwa uweje naomba tufahamishane au labda tanzania tuna viwango vyetu.
ReplyDelete