Mchomaji kitoeo maarufu sana hapa New York, Ally Mbarakah,  kutoka  Vikokotoni Zanzibar akiwa kazini

wanajumuya ya Watanzania waishio jijini New york na vitongoji vyake waliokutana Willson Woods Park, Mt Vernon wikkiendi hii na ku-enjoy summer pamoja kwa nyama choma na vilaji

Katibu wa jumuyia hiyo Bw.  Shaban Mseba akiwashukuru wanajumuiya  kwa kujitokeza kwa wingi na ku-enjoy summer pamoja. Picha kwa hisani ya Ebra Ny wa New York City.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...