wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kwa jina la wamachinga wakiwa wamepanga bidhaa zao kandokando ya eneo la makutano ya barabara ya samwel Ruangisha na ya Kashai, wamachinga hao walifapigwa marufuku kufanya biashara katika eneo hilo lakini wimbi la wamachinga limekuwa likiongezeka kila siku.
wamachinga wakiwa wamepanga viatu mbele ya msikiti wa ijumaa uliko katika manispaa ya Bukoba kwa ajili ya kuviuza, wamachinga hao muda mrefu wamekuwa wakiaidi amri iliyotolewa na uongozi wa manispaa ya kuwataka wasifanye biashara katika eneo hilo.Picha na Audax Mutiganzi,Bukoba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2011

    Bwana "ODAX"Bitahi Kyoma?Asante kwa picha..nilikuwepo hapo mjini mwezi wa 6..mbona watu wamekuwa wengi hivyo mjini? halafu wote wanaongea Kihaya!Hao "wamachinga" walitengewa eneo jingine la kufanyia biashara zao au walipigwa marufuku tu.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...