Ankal akiwa na Mbunge wa Mbeya Mh Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu bungeni Dodoma leo. Pamoja na mambo mengine Mh Sugu amesema gemu hajaacha kabisa kwani ndiyo iliyomfikisha hapo alipo na kwamba hivi sasa yuko studio akiandaa albamu yake ya anti virus part II

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Duh!

    Kaka Misupu hilo lisuti mbona kama limekuvaa badala ya wewe kuivaa?

    Khaah!

    ReplyDelete
  2. We Michuzi mbona suti zinakuvaa?

    ReplyDelete
  3. Ankal naona wewe si mtu wa suti bora uwe unavaa kale ka the fulanazaa na jeans. suti hupendezi kabisa, au kwa vile ni oversize may be kama ungevaa size yako ungependeza kidogo

    ReplyDelete
  4. Michuzi, naona hiyo suti ya kuazima. Uliazima ya kuendea mjengoni?? Vaa t-shirt zako kama kawaida. Hilo koti na suaruali hazijakukaa kabisaaaaaaaa!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. Nami nilitaka kuuliza, hii kuvaa masuti makubwa makubwa ni TZ style? Hatab iyo ya Mr Sugu sio size yake.

    ReplyDelete
  6. Yaani hiyo inaitwa 'mwanangu akua', yaani hata baada ya miaka miwili mitatu hivi bado inafaa.

    Pengine ni suti ya gharama kubwa sasa ni vyema iwe kubwa kidogo ili usije kuigawa na kaka mdogo akafaidi. Ha ha haaaaa!

    ReplyDelete
  7. hahaha naona wazalendo munauwa sana,suti zimetulia hizo kama kwenye henga vile,michuzi usinunue suti za dukani nyengine hazina vipimo,au za mtumbani hizo ?

    ReplyDelete
  8. mmh ancle si juzi mama alikuita us kushop so hayo ndo mapigo kweli.si lazima mpaka uwe na suti ndo utinge mjengoni.vua kwani ze nanihiii umefua?

    ReplyDelete
  9. Wadau inatosha, Michuzi keshaelewa kuwa wadau wamezoea kumwona na ze fulanazi. Na wewe kaka michuzi sasa chukua hatua za haraka kuirejea ze fulanazi au ulishaipiga mnada manake nasikia kuna mdau alifika dau mpaka mil. 10 ili kuipata ze fulanazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...