Benki ya CRDB imemteua Bi Esther Kileo Kitoka kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji katika masuala ya huduma (Shared services). Kabla ya uteuzi huo Bi. Esther Kitoka alikuwa Mkurugenzi wa idara ya Hatari za Hasara (Risk Department). Pichani juu na chini anaonekana Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bi Esther Kileo Kitoka (wa tatu juu  na wa nne chini  kutoka kulia, mwenye blauzi ya bluu)  akiwa na baadhi ya Wafanyakazi wa Benki hiyo katika hafla fupi ya kumpongeza ofisini kwake jijini Dar es salaam leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hongera dada Easter wembe ule ule

    ReplyDelete
  2. katika mtihani wa kumaliza kidato cha 6 esther kileo alikuwa kati wa wanafunzi watatu bora kitaifa ktk somo la Hisabati!!!

    ReplyDelete
  3. Please please please Esther naomba ushughulikie mafunzo kwa CS agents na Receptionists wako kuhusu 'NI WAPI KADI YA ATM YA CRDB YA MTEJA WAKO ILIYOMEZWA NA ATM AMBAYO SI YA CDRB - yaani ATM ya Bank nyengine' Itapatikana/au kutorudishwa tena kwa mteja mpaka aombe nyengine. Kwani nimegundua ni suala ambalo hakuna mwenye 'clue' katika bank yako.Wateja wengi wamekuwa wakisumbuka mno na nili-address tatizo hilo kwa management ila sijuhi kama limefanyiwa kazi.

    ReplyDelete
  4. pia katika kusomea CPA na B.com Chuo Kikuu Bi Esther Kitoka alibeba zawadi mbali mbali.

    ReplyDelete
  5. Namuona mwanangu Flora kushoto hapo... you make us very proud. Soon nawe utapanda cheo cha juu. Mungu yuko.

    ReplyDelete
  6. Hongera sana Aunt,,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...