Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Safi sana! Asante kwa kutuonyesha Bro!

    ReplyDelete
  2. Tatizo ukienda mbugani wala huwaoni wanyama kivile, hasa simba. Ziara ya mbugani haikamiliki bila kuwaona simba, ila ukienda mbuga zetu kuwaona ni shida kweli kweli. Nimeenda mbuga mbali mbali nchini ila nimewahi huwaona simba kwenye mbuga mbili tu, mikumi na manyara. Nawashauri tanapa mumvishe kiongozi wa kikundi (pride head) remote sensor ili iwe anajulikana alipo wakati wote. Na kwa vile yeye ni kiongozi, akipatikana basi na wengine wote wameonekana. Sio mtu unafunga safari na kuingia gharama tele halafu game guides kila wakati wanaulizana sharubu yuko wapi, haijulikani. Mambo yaende kisasa, tumieni technology kufanikisha ndoto za watalii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...