Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazan la Mapinduzi, Dk. Ali Moamed Shein,akizungumza na  uongozi wa Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu,katika mkutano wa kuweka mikakati ya matumizi ya wizara katika kukuza uchumi na kuwaletea maendeleo wananchi,mkutano huo uliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Baadhi ya watendaji wa wizara ya Miundombinu na mawasiliano wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na watendaji hao Ikulu Mjini Zanzibar,katika kuhakikisha watendaji hao wanasimamia vizuri kazi zao.PICHA NA RAMADHAN OTHMAN IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...