Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Bw. Haruna Masebu, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ufafanuzi wa jinsi wanavyokokotoa kila baada ya wiki mbili bei  elekezi/kikomo cha mafuta ya petroli, dizeli na taa kwa kufuata soko la dunia na thamani ya shilingi kulinganisha na dola ya Marekeni. Kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa EWURA, Bw.  Titus Kaguo. Picha na Kamanda Mwaikenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Longo longo, mnafanya kazi huku mkiwa mmepumbazwa na hali ya usingizi usingizi huku mkijua maamuzi yenu yanawaathiri wananchi. I'm very disappointed in you, sikutegemea mngefanya mambo haya.

    ReplyDelete
  2. EWURA HAMNA LOLOTE MMEJAA UBABAISHAJI TU,UTENDAJI WENU UNAIYUMBISHA NCHI NA MNAWAFANYA WANANCHI WASIWE NA IMANI NA SERIKALI YAO. KUWENI WA KWELI, MWANZO MLIKURUPUKA NA BAADA YA KUBANWA NA WAUZA MAFUTA MMEAMUA KUSALIMU AMRI. THIS TIME HAMJAKOKOTOA BEI BALI NI SHINIKIZO LA WAUZA MAFUTA.SIONI SABABU YA EWURA KUENDELEA KUWEPO WAKATI UWEPO WENU UNAWAUMIZA WATANZANIA.

    ReplyDelete
  3. Huko anakodai kuwa ni kupanda kwa bei ya mafuta duniani, hivi ni dunia ya wapi wanakoishi wao peke yao? Bei ya mafuta duniani imeshuka bwana. Hivi anadhani kwamba watanzania ni wajinga? Anaudhi sana huyu....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...