Banda la wanahabari wa TBC1 bungeni Dodoma leo
Wanahabari wa TBC1 wakiwa kazini kwenye kibanda chao nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma ambako wanarusha matangazo moja kwa moja ya kikao cha Bunge kila siku toka saa 12 asubuhi. Toka kushoto ni msimamizi wa matangazo hayo Bi Jane Mosha, Mhariri Selemani Mzee na watangazaji Elisha Elia na Bi Victoria Patrick
 Mpiga picha wa TBC1  Humphrey Mwesigwa akiwa kazini ndani ya ukumbi wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mbona wako kwenye hema tena?!!,
    Haya ni mazingira magumu ya kufanyia kazi. offisi za bunge zinatakiwa kuwa na chumba cha Audio na Video production. Hakuna sababu ya waheshimiwa kuwa na viti vizuri, soundsystem kali, lakini chumba cha habari hakuna. haikubaliki kusema ukweli.
    Habari ni nguzo muhimu katika utawala wa kileo.

    ReplyDelete
  2. Mtoa maoni umeongea point kabisa. Nilipata Fursa ya kutembelea ukumbi wa bunge la Scotland mjini Edinburgh, Camera zote zimekuwa fixed katika ukumbi, na kazi ya chumba cha habari ni kuchagua picha za kamera gani ziende hewani at particular time. Pia ku-zoom muongeaji from selected Camera. Haihitaji kuwa katika nchi iliyoendelea kujua hayo. mambo ya mpiga picha kuchungulia na kufuata watu yamepitwa na wakati, una-switch to next camera tu. Ila ndiyo hivyo tena bado tunafanya kazi ki-stone age

    ReplyDelete
  3. Ndugu Humphray, camera ya namna hiyo ni hatari kwa afya yako...tuombe Mungu usipate cansa ya taya au jicho.....Labda uwe unaitumia kwa muda mfupi tu . Nimeisha ona kama wanne hivi wenye kutumia camera ya kubeba begani walipata matatizo hayo.

    ReplyDelete
  4. wewe uliyechangia hapo juu! umechunguz vizuri hiyo camera? sio ya kubeba begani ...... HEBU ANGALIA VIZURI NDIPO U COMENT!

    ReplyDelete
  5. Mimi nimetahadhalisha tu. ila kwa hiyo position , taya na jicho ndivyo nilivyohofia.

    Ila nafikiri yeye akisoma hii ataelewa. Ndugu hebu chaki tena akiigeuza tu ni bagani. Vijana kama hawa hatutaki wapate shida.

    ReplyDelete
  6. Wewe unayesema "hebu angalia vizuri" naona humtakii mema mwenzako. Basi kwa taarifa , kamera za namna hii zinaleta cansa ya taya na jicho..nami namsapoti aliyetoa tahdhali. Hapo ni mionzi mitupu.

    Tena unapaswa kutumia lugha ya binadamu. Mwenzio hakufanya vibaya kujuza hivyo. hiyo statement yako sijaipenda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...