Waheshimiwa katika siku ya mwisho wa kikao cha bajeti 2011/12
Waheshimiwa kikaoni
Waheshimiwa wakijadili haya na yale
Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akisoma hotuba ya kuahirisha bunge la bajeti
Waheshimiwa bungeni
Spika Anne Makinda akiahirisha rasmi kikao cha bajeti
Spika Anne Makinda akitoka ukumbini baada ya kuahirisha kikao
Waheshimiwa wakipozi mara baada ya kikao kuahirishwa
Mheshimiwa akiwa amesomba makabrasha yake
Mbunge wa Tabora Mh Ismail Aden Rage akihojiwa na TBC baada ya kikao
Waheshimiwa wakiagana baada ya kikao kuahirishwa
Dkt Maua Daftari akijitayarisha kuondoka baada ya kikao kuahirishwa
Waheshimiwa wakiwa nje ya ukumbi baada ya kikao kuahirishwa
Ankal na wadau baada ya kikao kuahirishwa
Wanahabari wakituma taarifa baada ya kikao kuahirishwa
dau Alvar Mwakyusa wa Daily News akirusha habari za mwisho mwisho |
Ankal akipozi na Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda na Mkewe Mama Tunu Pinda na mdau
Mh Mbowe siyo utani umependeza kweli kweli.
ReplyDelete