Hi, Ankal

Pole kwa shughuli nyingi zinazokukabili kuendeleza libeneke hili la blog ya jamii kiukweli umekuwa unafanya kazi kubwa kuihabalisha jamii juu ya mambo mbalimbali yanayoendela hapa nchi na nje ya nchi, hongera sana!

Ili kuendeleza libeneke nami nimeanzisha blog inayohusiana na mambo ya michezo hususani soka ambapo ukiingia humu utapata habari mbalimbali zihusuzo michezo ndani na nje ya nchi, hivyo nilikuwa naona uirushe japo wadau nao wapate kutembelea.


Hilo ndilo jina la blog yenyewe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Beki 3 watu wengi wana-associate na house girls ingawa ni position muhimu katika listi ya timu ya mpira wa miguu.

    ReplyDelete
  2. BLOG NYINGI ZA TANZANIA ZINAZOPOST MICHEZO HAZIPO UP TO DATE, KWA HIYO JITAHIDI KATIKA HILO USISUBIRI HABARI ZA JANA UNAZIWEKA LEO UTTUKIMBIZA KAKA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...