MISA YA KUMUAGA JUMAMOSI AUG 20,2011
Tujumuike kwenye misa ya kumuaga Mama mpenzi,Dada yetu mpendwa,Rafiki yetu mkubwa na Mtanzania mwenzetu,Kidee Bendera Tazanu siku ya Jumamosi Aug 20,2011 saa 7 mchana(1pm),misa itafanyikia

Holy Cross Church
6905 Greenbelt Road
Greenbelt, MD,20770

Tafadhali zingatia muda,mwili wa mpendwa wetu unatarajiwa kuondoka Jumatatu Aug 22,2011.
Bwana ametoa,Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE. AMINA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...