Sehemu ya Mashekhe na umati wa Waislamu uliofurika katika ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam kushuhudia mashindano ya kuhifadhi Kuraan Tukufu yaliyoshirikisha wanafunzi wa madrasa toka Bara na visiwani
 Sehemu ya washindani wavulana
 Washindani wasichana
 Mke wa rais Salma Kikwete (wa pili kulia) akimsaidia kuwasha Pikipiki ya kubeba mizigo Mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Kuraan juzu 30 Khalid Omar Mbarouk (15) katikati wa Madrasat An-Nujum ya Temeke  yaliyofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Jaji wa Hifadhi, Hassan Ahamed Katunguya na kulia ni Mwenyekiti wa Mashindano ya kuhifadhi Kuraan nchini  Bi Aisha Sururu.


Mke wa Rais Salma Kikwete (watatu kulia) akimkabidhi funguo za pikipiki ya kubebea mizigo aina ya Bajaj iliyotolewa na Home Shopping centre Mshindi wa kuhifadhi Kuraan juzu 30 Khalid Omar Mbarouk (kulia) wa Temeke Dar es salaam baada ya kuibuka mshindi katika Mashindano ya kusoma kwa kuhifadhi kuraan yaliyofanyika Dar es Salaam jana. 
Mke wa Rais Salma Kikwete (watatu kulia) akiwa mwanaharakati maarufu na mratibu wa shindano hilo Bi Aisha Sururu wakiomba dua baada ya shindano hilo lililofana sana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. asalam aleikum michuzi naomba utuwekee video ya huyu mtoto kama unayo
    shukrani

    ReplyDelete
  2. safi saana kijana kwa umri huo kwa kazi hiyo. una akili yenye afya njema, ipe mzigo saizi yake, namaanisha na hisabati na sayansi nazo ufanye kweli.

    ReplyDelete
  3. hongereni ahsanteni kwa good news Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  4. as(aleykum) ankali wallah mi nikickia mtoto kama huyu kahifadhi juzuu 30 mwili wote unanisisimka mungu amzidishie amuongoze katika swiratul mustakiim hapa dunian na kesho akhera na cc pia atujaalie vizazi vitakavyokuwa na vichwa kama iko vya kuhifadhi qur aan tukufu aaaaaaaaaaamiiiiiin.....!
    MDAU
    MUDDY(UDOM)

    ReplyDelete
  5. Hii zawadi yake mbona kama imewahi sana? Nahisi kama kwa miaka yake hicho chombo cha moto si salama kwake, unless kitakuwa chini ya muangalizi mwingine.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...