Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ( kushoto) akibadirishana mawazo na Mbunge mwenzake wa Jimbo la Morogoro Kusini, Innocent Kalogeries , mwanzoni mwa wiki mjini hii mjini Morogoro.
Masista wa dhehebu moja la Dini wakiangalia uzalishaji wa mbegu kwa kutumia chupa kwenye banda la Wizara ya Kilimo , Chakula na Ushirika , kitengo cha Utafiti Kanda ya Mashariki, wakati wa maonesho ya wakulima hivi karibuni Mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ( CCM) Wilaya ya Mvomero, Mkoaa wa Morogoro, Pololeti Mgema ( kushoto) akiwa ameketi kwenye kiti pamoja na ndugu yake ,wakipatiwa maelezo na wataalamu wa Shirika la Kimataifa la Kimaendeleo la nchi ya Korea Kusini (KOICA) hapa nchini , juu ya matumizi mbalimbali za zana za Kilimo na Ufugaji , siku ya kilele cha maonesho ya wakulima Agosti 8, mwaka huu, Kanda ya Mashariki.Picha na John Nditi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...