Natoa wazo “ukweli mchungu ila una manufaa” sasa naomba nitofautiane na watanzania wenzangu kuelekea siku kuu ya Idd Elfitri, mimi sitatoa mbuzi, sitatoa mchele wala soda, bali natoa zawadi itakayoishi milele kuanzia kwa watoto wetu mpaka wazee wetu, Idd Mubarak watanzania wenzangu “NAOMBA TUJENGE UTAMADUNI WA KUPENDA KUJISOMEA DAIMA”

Mtembelee Nova Kambota BONYEZA www.novakambota.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hapo ni Morogoro?

    ReplyDelete
  2. Hiyo siyo zawadi, hilo ni ombi. Zawadi ungetoa vitabu, au bati kwa ajili ya kujengea darasa. Kuhimiza katika mambo ya elimu ni wajibu kwa waislamu, hivyo hutofautiani na Mtanzania yeyote. Ni kwamba tu huelewi dhana nzima ya zawadi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...