Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa akimkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Moh'd Aboud Moh'd aliyeko Kushoto kuzungumza na Makamanda pamoja na Maofisa mbalimbali  kuhusu mikakati ya kupambana na uhalifu nchini katika kituo cha Polisi Madema kuliani kwake ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
 Makamanda na Maofisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi ambao walihudhuria Mkutano wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Moh'd Aboud Moh'd hayupo pichani alipokuwa akielezea mikakati ya kupambana na uhalifu Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Moh'd Aboud Moh'd akizungumza leo na Makamanda pamoja na Maofisa mbalimbali hawapo pichani kuhusu mikakati ya kupambana na uhalifu nchini katika kituo cha Polisi Madema Zanzibar kuliani kwake ni Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa
Picha na mdau Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Uhalifu gani unaozungumziwa hapa ?Si police ya Tz bara wala Znz wanaofanya kazi kwa umakini,wanyama pori wanasafirishwa bila police wala wapelelezi kujua.
    Ni aibu kwa taifa kiujumla,mali asili ni mali ya watanzania wote na sio ya viongozi peke yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...