Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.
Mwl Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu. Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.
Home
Unlabelled
MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:BIRMINGHAM- UK 27-28 /08/ 2011.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
be astonished by this
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/user/CloningIsFun#p/u/3/-WxT79R-p98
Amen, nampenda sana Mwakasege na hili tangazo limechelewa kuwekwa maana hapa nilipo sikusikia ratiba yake kwa mwaka huu, i wish ningejua mapema niliombe holiday kazini na pia watumishi mbona hamjatupa address? Na maelezo mengine kama tunaotoka nje ya Birmingham inakuweje?
ReplyDeleteAu si kweli? na mbona hili tangazo limechelewa sana kipindi hiki?