Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akionyeshwa namna DJ Tasi (kushoto) anavyofanya kazi alipotembelea kituo cha Magic FM akiwa katika ziara ya Kampuni ya Africa Media Group inayomiliki kituo hicho mjini Dar es Salaam, leo. Anayemuonyesha ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Hamza Kasongo. (wapili kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...