Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akionyeshwa namna DJ Tasi (kushoto) anavyofanya kazi alipotembelea kituo cha Magic FM akiwa katika ziara ya Kampuni ya Africa Media Group inayomiliki kituo hicho mjini Dar es Salaam, leo. Anayemuonyesha ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Hamza Kasongo. (wapili kushoto).
Home
Unlabelled
NAPE ATEMBELEA MAGIC FM LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...