![]() |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha Rose Migiro alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo. |
![]() |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha Rose Migiro alipofika Ikulu Mjini Zanzibar. |
![]() |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha Rose Migiro. PICHA NA RAMADHAN OTHMAN |
kwa nini viongozi wengi wa Zanzibar ni Madoctor? Dr.Salmin,Dr.Omar,Dr.Bilal,Dr.Shein,Dr Muchi,Dr sijui nani? anyway Huyu Raisi ni mpole sana na aendelee kuwepo miaka yote licha ya kuwa ni CCM.
ReplyDeleteKwa sababu ni wasomi! Wameupata kwa kuichimbia kusoma
ReplyDelete