Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi akiwa katika kikao cha faragha na wamiliki wa vituo vya mafuta kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mbona wote wamiliki vituo hivyo ni wahindi na waarabu, watanzania halisi wako wapi jamani, do not sleep in your own country. wake up na nyie mjikongoje na siyo kutawaliwa tuuuuuuuuuuuuuu.

    ReplyDelete
  2. Eliakim, kijana wetu huyu!

    ReplyDelete
  3. Mafuta ni nyenzo muhimu kwa uchumi wa nchi, kwa hiyo kama jukumu la kuyaagiza nje linawekwa mikononi mwa watu binafsi kuna siku ya majuto.

    ReplyDelete
  4. HAWA JAMAA WANAOGOMESHA DAWA YA NI KUWAPIGA "PI" TU ILI WAENDE MAKWAO, WANAHUJUMU UCHUMI KWA WIZI TU

    ReplyDelete
  5. mdau hapo juu wewe ni mpumbavu sana , akili zako hazina akili, sasa uhindi na uwarabu umeingiaje hapo ? kwani wao si watanzania ? kwani weusi wamekatazwa kumiliki vituo vya mafuta ? PAMBAFFFFF YAKO.... hebu nikuulize swali kwani mafuta unajua yanatoka wapi ? chanzo chake ? BUKOBA ? amka !!!

    ReplyDelete
  6. ukweli unauma kweli..hamna mzalendo hata mmoja hapo..wote ni wana mirija tu..anonymous fri august 09.47.00 am 2010 funga bakuli lako...ni sisi wizara tumegundua wauzaji ni akina nani so tunaanza mikakati ya kuhakikisha hali halitakaa litokee tena milele

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...