Assalaamu Alaykum

Ndugu katika Iman,
Huu ndiwo utaratibu wetu wa sheghuli za Eid Inshaallah:

SALA YA EID

iNSHAALLAH UTARATIBU NI HUU:

SIKU: Jumanne au Jumatano kutegemea muandamo
PAHALA: Kocha House, Malabar Road, Leicester LE1 2PD
WAKATI: Takbeer zitaanza saa mbili kamili asubuhi, na SALA iatasaliwa saa mbili na nusu

Kisha Inshaallah tutafungua kinywa pamoja kama desturi yetu.

Kuna mchango wa £10 kila familia wa kuandaa kifungua kinywa, tafadhali wasiliana nami kwa utaratibu wa kutoa mchango.

EID FUN DAY:

Inshaallah JUMAMOSI 3-9-11 kutakuwa na Eid Fun Day kwa KINAMAMA na watoto tu!
Wavulana hadi miaka 15 na kushuka chini
Wasichana umri wote

Kiingilio kitakuwa £1.50 KILA MTU.

KUTAKUWA NA BOUNCY CASTLE, HENNA, FACE PAINTING, ZAWADI, UROJO, CRISPS, VINYWAJI, NA VIPOCHOPOCHO KADHA!!
Fika ufurahi na familia yako pamoja na wenzako.

Kwa maelezo zaodi wasiliana nami

jazaakal lah Khayr

EID MUBAARAK

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sasa huyo mtu wa kuwasiliana naye hana jina wala anuani, utawasilianaje naye?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...