Home
Unlabelled
UJENZI WA BARABARA YA KILWA RODI ENEO LA MBAGALA RANGITATU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
haya sasa kwa wakazi wa mbagala, barabrara ndo hiyo inakuja nadhani watu tutahamia huko kwani foleni itapungua kama sio kwisha.
ReplyDeleteNashukuru Serikali kwa kusikia kilio chetu na kuanza ujenzi wa kilometa 1.5 zilizobaki. Kuisha kwa barabara hii kutapunguza sana msongamano kwenye eneo hili la Rangi Tatu.
ReplyDeleteNaendelea kufuatilia maboresho ya barabara za ndani ili wakazi wa Mbagala, Mbagala Kuu, Charambe, Chamazi na Mianzini waweze kuchepuka na kutumia barabara hizo badala kutumia barabara hii.Wana Mbagala tuzidi kuwa pamoja.
Dr Faustine Ndugulile-Mbunge Kigamboni