Waziri wa Viwanda na Biashara,Dr. Cyril Chami (kulia) akizungumza na wajumbe wa Bodi mpya ya NDC.Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NDC, Mh. Dr. Chrisant Mzindakaya, akifatiwa na Prof. Idris Kikula.
Waziri wa Viwanda na Biashara Dr. Cyril Chami akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa bodi mpya ya NDC na Menejimenti ya NDC. Waliosimama mbele kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC Gideon Nasari akifatiwa na Lucy Sondo, Mh. Dr. Chrisant Mzindakaya na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Joyce Mapunjo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tanzania kuendelea ni vigumu sana,NDC ni kiini cha maendeleo sasa inakuwaje mwenyekiti wa bodi sio msomi wa kujua maendeleo ila amechaguliwa kisiasa kufurahisha kwa vile hana kazi.Lets be clear enzi kama hizo zimekwisha this post needs accountability it nedds someone who is responsible.Unaona matatizo ya Tanesco yalitokana na kuchaguliwa watu kama Mzindakaya kuliongoza sasa tunaona matokeo yake.Afadhali serikali impe pension kubwa lakini mambo ya maendeleo weapewe watu wenye uwezo,tusichezee nchi na wananchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...