Baba wa taifa Mwalimu Nyerere akiongea na wanahabari Juni 14, 1994 katika hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Nimetoa machozi kwa uchungu.God less his soul na nawish angeyaona ya leo.tunashukuru sana michu

    ReplyDelete
  2. Bwana michuzi nashukuru sana kwa kutukumbusha mzee wetu kipenzi cha waafrica mimi kama mwana ccm aliyesomeshwa kwa pesa ya watanzania nimeumwa nimelia sana kwa uchungu mwingi kutokana na mambo ninayoyaona leo kutoka kwa baadhi ya viongozi wa ccm na wa upinzani naomba mwenyezi mungu aipumzishe roho ya kipenzi cha waafrica,mwalimu baba ulitutoka mapema yote niya mungu ungekuwepo baba leo sijui wangesema nini bwana michuzi ningependa kujua kamanaweza kupata cd za hutuba za mwalimu
    asante ongeza nyingine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...