Home
Unlabelled
yanga kapakatwa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
lijamaa lina uchu hilo
ReplyDeleteAnayepakatwa huwa ni Simba tuu.. unngebuni yako, kila kitu mnageza tuu!!
ReplyDeleteNdio yaleyale ya kutaka kupeleka ka-ngao ka jamii bungeni..
Ha ha haaaa!!!!! Michu mwambie Nathan Mpangala naye atuwekee kibonzo cha kupakatwa Yanga. Sijui kama ataweza kukichora maana jamaa ni Yanga damu.
ReplyDeleteHahahaha mbili za ukwezi ni za goli dogo.
ReplyDeleteKuiga-iga nako kunaharibu arts za watu. mngemwachia mwenye kuanzisha bar ya "simba kapakatwa"na jina lake. inaolekea simba hawaipendi kabisa ile bar, ingekua Zanzibar ingeshachomwa moto siku nyingi sana.
ReplyDeleteDuh, jamani yanga wanavutia na kupakatwa huko basi ameshaanza kulia kabla ya kuingia ndani huku aibu. Kumbe anataka zaidi ya goli mbili.
ReplyDeleteDu yanga kumbe mrembo kiasi hicho,simba anamfaidi sana,mume mwema ni yule anayemuonea huruma mkewe,hataki kumchosha sana goli mbili tu zinatosha.Raha kweli kuwa na mke wa kupakata kama yanga.
ReplyDeleteYanga punguzeni hasira.
ReplyDeleteWaliotoa maoni hapo juu ambao ni Yanga nishawajua.
ReplyDelete