Ankal akila konozzz na Mamou, bintiye anayepiga kitabu kidatu cha tano katika shule ya sekondari ya wasichana ya Babro Johansson iliyoko maeneo ya Luguruni nje kidogo ya Dar es salaam. Shule hii, ambayo hupokea waliohitimu vyema katika mtihani wa kidatu cha nne kwa kupata Division One, imepewa jina la Mama Barbo kutoka Sweden ambaye aliipenda mno Tanzania kiasi cha kuchua uraia. Na mfuko wake wa Joha Trust ndio unaofadhili shule hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti Mwanzilishi Profesa Anna Tibaijuka wakati Mzee Paul Rupia Ndiye mlezi wake pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Mh Solomon Odunga. Mama Halima Kamote ndiye Mwalimu Mkuu na Mkuu wa Utawala. Tembelea tovuti yao BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
ankal na mamou wakiwa shule ya Barbro Johansson
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tehe teh tee tee!
ReplyDeleteKaka nakuonea huruma wewe kwani umejitafutia balaa mwenyewe!
Subiri sasa wakishaamka wale jamaa zetu wale, maana saa hizi kwao ni usiku bado wamelala. Tehe teh tee te!
Ila ana MGUU MZURI!
Michuzi ubaya unautangaza mwenyewe..
ReplyDeleteSasa usije "ukatu-Babu Seya" ..wakware sisi tukimtembelea binti kumsalimia hapo shuleni.
Tunashukuru sana kwa taarifa.. Tutaifanyia kazi soon!
HONGERA SANA ANKAL UMENIKOSHA SANA HII NI KUONYESHA KUWA UNAIJALI FAMILIA MPE BIG UP MWANA NA APIGE KITABU CHA NGUVU ZAIDI TUNA MTEGEMEA AJE KUWA KAMA MAMA DR ASHA ROSE MIGILO NI KUMPA MOYO TU HAKUNA KINACHOSHINDIKANA AKIKAZA BOOT LA KUSOMA ALSO HONGERA MMEFANANA SANA - mdau Richie wa ughaibuni
ReplyDeletenaona ankal binti yetu anachekelea kibahasha hicho mkononi utakachomwachia!!!!!hehe
ReplyDeleteMdau wa IT
Ankal naona ulikuwa mpenzi sana wa TP OK JAZZ ndio maaana umemwita bintiyo jina la MAMOU. Namtakia kila la kheri Mamou katika harakati za Elimu.
ReplyDeleteKALLEY.
Kuna haja ya kuanza kujua ratiba za visiting za babro.....teh teh teh....
ReplyDeleteHongera ankal kwa kurithisha wanao kile chenye kheri na manufaa kwao - elimu bora.......
Michuzi mnunulie viatu binti yetu manake naona mguu wa kulia kamba za viatu zimekatika
ReplyDelete