Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Tolly Mbwette, akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ubani wa sh. mil 2,000,000/- taslim ikiwa ni rambirambi ya wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa wafiwa na waliookolewa katika ajili ya MV Spice Islander iliyotokea mwanzoni mwa mwezi huu.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Tolly Mbwette, akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, alipomtembelea ofisini kwake Vuga, Zanzibar jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hongera sana Chuo kikuu huria kwa kuonyesha moyo wa upendo na faraja kwa wenzetu waliofiwa na ndugu zao. Mungu awasaidie na awape faraja tele. pongezi kwa prof. mbwette kwa uwakilishi wa Chuo kikuu huria.
    mdau wa OUT MTWARA centre

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...