Wananchi wa Igunga wakiwa wameizingira helikopta itayotumiwa na Chama Cha Wananchi CUF kwenye kampeni zake kama ilivyo kwa CCM na CHADEMA ambao pia wanatumia usafiri huu kufikia wapiga kura


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Vita ya Tembo ziumiazo Nyasi.
    Pesa za kulipia hizi Hedikopta zitakatwa kwenye kodi ya walalahoi.
    Hospitali, Madarasa, Umeme ni shida.. lakini watu wanajiachia tu angani. Kaazi kweli kweli!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...