Kile kikosi kazi cha FFU Ughaibuni aka Ngoma Africa band,kinatarajiwa kutua mjini Bremen,ujerumani siku ya ijumaa 16.09.2011 kwa kazi moja tu..ya kuwadatisha akili washabiki na mdundo wa muziki "made in Uswahilini" katika onesho kubwa la aina yake "AFRIKA MESSE" ambalo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserekali GIZ International.

Ngoma Africa band inayoongozwa na kamanda ras Makunja,ina utajili wa wanamuziki wenye vipaji wakiwemo akina Diva Bedi Beraca,Said Vuai,Christian Bakotessa aka Chris-B na wengineo.kikosi kazi hiko chenye tabia za kuwatia kiwewe washabiki wake kila wanapotumbuiza,kimejikuta kina kazi ya ziada ya kuwapa washabiki " Extra Ordinary Bongo dansi" made in Uswahilini.

Tafadhali wasikilize FFU at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ffu aka ze ngoma africa band aka watoto wa mbwa,karibuni sana breme,mkimaliza show tafadhalini mrudi kambini kwenu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...