Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akitoa mada wakati wa semina ya waandishi wa habari kuhusu Kapeni ya Kili Jivunie uTanzania. Semina hii ilifanyika Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishiriki katika semina ya Kampeni ya Kili Jivunie uTanzania inayoenda sambamba na miaka hamsini ya Uhuru wa Tanzania. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...